Sambaza

Rapa A$ap Rocky Azidi Kusota Rumande Baada Ya Kukosa Dhamana

Image result for a$ap rocky

RAPA  kutoka marekani A$AP Rocky anaendelea kusota rumande baada ya mahakama kuu nchini Sweden kutupilia mbali ombi lake la dhamna jana.

Mtandao wa Daily Mail umeripoti kuwa mahakama kuu nchini Sweden imeamua kwamba rapa A$AP Rocky ataendelea kushikiliwa na polisi kwa wiki mbili huku upelelezi ukiendelea kuhusu tukio la kumpiga shabiki june 3o mwaha huu.

 

Toa Maoni Yako Hapa
#TUMESTUKA #NAWESTUKA! Pakua App Ya >>>255 Global Radio, Bofya Hapa

spotiXtra

jerseys wholesale Danton Heinen Jersey