Sambaza

Rapa A$AP Rocky Aendelea Kusota Jela Hadi Julai 25

Image result for a$ap rocky

Mwendesha mashtaka Daniel Suneson ametaka rapa A$AP Rocky kuendelea kushikiliwa ili polisi kuendelea na uchunguzi wa tukio lake la kupigana na kufanya fujo mjini Stockholm juni 3 mwaka huu.

Rapa A$AP Rocky ataendelea kukaa jela hadi julai 25  ambapo anatarajiwa kupandishwa kizimbani tena Ijumaa ya Julai 26, imeripotiwa kuwa taarifa za jitihada za kumtoa Rocky ziliifikia Ikulu ya Marekani kupitia Jared Kushner (Mkwe wa Trump) kutoka kwa Kim Kardashian ambaye kwa kushirikiana na mumewe Kanye West wamepanga kumtoa Jela.

Toa Maoni Yako Hapa
#TUMESTUKA #NAWESTUKA! Pakua App Ya >>>255 Global Radio, Bofya Hapa

spotiXtra

jerseys wholesale Danton Heinen Jersey