Sambaza

Tegemea Kuwasikia AY Na Joh Makini Kwenye Ngoma Moja

Wakali wawili wa HipHop kutoka nchini Tanzania, Joh Makimi na Ay tegemea kuwasiki kwenye ngoma moja kupitia ukurasa wa instagram wa Joh Makini ameweka picha yake akiwa na AY chini ameandika “TUMESHAPANGA SANA SASA KIFUATACHO NI UTEKELEZAJI TU MASTA AY × JOH MAKINI COMING SOON…  #FAVOURITEMCWAMAMENEJAMASOKO

AY pia kupitia ukurasa wake wa  Instagram Yake siku ya jana alidokeza ujio wa ngoma yao hiyo mpya.

Toa Maoni Yako Hapa
#TUMESTUKA #NAWESTUKA! Pakua App Ya >>>255 Global Radio, Bofya Hapa

spotiXtra

jerseys wholesale Danton Heinen Jersey