Sambaza

Penzi La P Diddy Na Lori Harvey Sio Siri Tena

Image result for diddy

Mkongwe wa muziki nchini Marekani,P  Diddy mwenye umri wa miaka 49 inasemekana  yupo kwenye mahusiano na Lori Harvery mwenye umri wa miaka 22 mtoto wa mtangazaji maarufu nchini marekani, Steve Harvey

kumekuwa na tetesi za uhusiano wa wawili hao lakini hazikuwahi kuthibitishwa, sasa Alhamisi hii Tetesi za uhusiano huo zimeshamiri baada ya Lori Harvey kuonekana kwenye migahawa mikubwa na Diddy huko NewYork. 

Image result for diddy

Mwezi uliopita pia ziliibuka tetesi kuwa amevishwa pete ya uchumba lakini aliwahi kuzikanusha. Lori Harvey amewahi kuwa kwenye mahusiano na mtoto wa Diddy aitwaye Justin Combs.

Toa Maoni Yako Hapa
#TUMESTUKA #NAWESTUKA! Pakua App Ya >>>255 Global Radio, Bofya Hapa

spotiXtra

jerseys wholesale Danton Heinen Jersey