Sambaza

Mpishi Amshtaki Lil Wayne Kwa Kushindwa  Kumlipa

Image result for lil wayne

D’Antonie Hill ambaye ni mpishi ameshtaki Lil Wayne pamoja na kampuni ya Young Money Entertainment kwa kuvunja mashrti ya mkataba wake wa kazi kwa kushindwa  kumlipa.

Mahaka imemuamrisha Lil Wayne kumlipa mpishi uyo wa zamani  milioni 80 zilizokuwa zimebaki. Awali alimlipa TZS. milioni 878. Deni kuu ambalo alikuwa anadaiwa ni TZS. milioni 958.

Toa Maoni Yako Hapa
#TUMESTUKA #NAWESTUKA! Pakua App Ya >>>255 Global Radio, Bofya Hapa

spotiXtra

jerseys wholesale Danton Heinen Jersey