Sambaza

Ndoa ya Miley Cyrus, Liam Hemsworth Yavunjika

Baada ya kudumu Kwa miezi 7 tu, ndoa ya Miley Cyrus(26) na muigizaji Liam Hemsworth(29) yavunjika.

Miley ambaye ni star maarufu wa muziki amesema ndoa hiyo alikuwa haielewi elewi na pia kimapenzi yeye bado anavutiwa na wanawake wenzie, na anapenda mahusiano ya jinsia moja hivyo hana sifa za kuwa mke wa mtu!

Kwa upande wa Liam Hemsworth ambaye ndie alilazimisha wafunge ndoa, kwasasa anaonekana bado hayupo sawa baada ya kuvunjika kwa ndoa hiyo .

Mastaa hao walianza kutoka pamoja tangu 2009 kisha wakawa wanarudiana na kumwagana

Toa Maoni Yako Hapa
#TUMESTUKA #NAWESTUKA! Pakua App Ya >>>255 Global Radio, Bofya Hapa

spotiXtra

jerseys wholesale Danton Heinen Jersey