Sambaza

Wizkid Afuta Post Zote Kwenye Ukurasa Wake Wa Instagram

Staa wa muziki kutoka pande za Nigeri Wizkid ameamua kufuta post zake zote kwenye ukurasa wake wa instagram wenye Followers Million 8.2.

Huwenda nakaribia Kuachia Album mpya, Miezi ya hivi karibuni amekuwa akidokeza ujio wa Album yake Mpya ambayo amepita jina la Made In Lagos Wizkid amethibitia pia kuachia ngoma zake ambazo amefanya kolabo Damian Marley, Burna Boy na Teni.

Toa Maoni Yako Hapa
#TUMESTUKA #NAWESTUKA! Pakua App Ya >>>255 Global Radio, Bofya Hapa

spotiXtra

jerseys wholesale Danton Heinen Jersey