Sambaza

Jay-Z Atuhumiwa Kwa Kuwasaliti Jamii Ya Watu Weusi

Jay-Z

Mwanamuziki kutoka pande za Marekani Jay-z atuhumiwa kwa kuwasaliti jamii ya watu weusi huko nchini Marekani kwa kusaini mikataba ya kazi na NFL (NFL ni bodi ya Ligi ya Mchezo wa Mpira wa Miguu ambayo imekuwa ikihusishwa na ubaguzi wa wachezaji wenye asili ya Afrika)

Jay-z amefanya mahojiano na Kamishna wa NFL – Roger Goodell, mwandishi mmoja wa habari alimuuliza Jay kama ataendelea kupiga goti chini kushinikiza kupinga uonevu wa polisi dhidi ya watu weusi kama alivyoanzisha Kaep mwaka Jana? Jay-Z alijibu “Hapana, nafikiri tumeshamaliza kupiga goti na sasa kinachofata ni vitendo tu.”


NEW YORK, NEW YORK - AUGUST 14: NFL Commissioner Roger Goodell and Jay Z at the Roc Nation and NFL Partnership Announcement at Roc Nation on August 14, 2019 in New York City. (Photo by Kevin Mazur/Getty Images for Roc Nation)

Sasa basi mpenzi wa Colin  Kaepernick alikuwa mtu wa kwanza kuanza kumkosoa mwanamuziki Jay-z na uamuzi wake, amemuita msaliti kwa kuungana na watu ambao walimfanya mpenzi wake (Colin Kaepernick) akose ajira mpaka sasa kwa kutetea haki za watu weusi tena kwa amani
“Umetumika kumzika Kaepernick ambaye wewe mwenyewe ulimuita ‘Icon’ wako.”

Toa Maoni Yako Hapa
#TUMESTUKA #NAWESTUKA! Pakua App Ya >>>255 Global Radio, Bofya Hapa

spotiXtra

jerseys wholesale Danton Heinen Jersey