Sambaza

Drake Ashtakiwa Kwa Kuiba Beat La Rapa Mwenzake

RAPA kutoka pande za Canada anaefanya kazi za muziki  nchini marekani, Aubrey Drake Graham a.k.a Drake amefunguliwa Shtaka la kuiba mdundo wa muziki (beat) wa msanii mwenzake na kuutumia kwenye ngoma yake ya “In My Feelings”.

Mtandao wa TMZ  umemtafuta msanii Samuel Nicholas III ambaye anamtuhumu Rapa Drake kumuibia kila kitu kutoka kwenye ngoma ya “Roll Call” ambao aliuachia mwaka 2000. Msanii huyo amewafugulia mashtaka Drake pamoja Republic Records, Asylum Records na Cash Money.

 

Toa Maoni Yako Hapa
#TUMESTUKA #NAWESTUKA! Pakua App Ya >>>255 Global Radio, Bofya Hapa

spotiXtra

jerseys wholesale Danton Heinen Jersey