Sambaza

Majirani Wasimamisha Ujenzi Wa Nyumba Za Kanye West

Mtandao wa TMZ umeripoti kuwa majirani wamemuitia polisi rapa Kanye West hii ni baada  kelele kuzidi kwenye mradi wake wa ujezi wa nyumba zake kwa ajili ya kupangisha wananchi wa hali ya chini kwa gharama nafuu  mjini Calabasas.

The dome-like structures look a lot like old-fashioned bread ovens, especially in their chaparral setting, surrounded by oaks and low shrubs.

Imeripotiwa kuwa jirani mmoja aliwapigia simu polisi wiki iliyopita na kuripoti kuwa Mtaani kwao kelele zimezidi kutoka na ujenzi wa nyumba za kanye West, Polisi waliwasili Jumamosi  Saa 1:30 Usiku na kukuta ujenzi ukiendelea ndipo walipoamua kusimamisha ujenzi huo kutokana na Kanye West kutokuwa na kibali cha kufanya ujenzi wa kudumu katika eneo hilo, na mamlaka ya ardhi imeamua kumpa siku kadhaa kumaliza ujenzi huo.

kanye west domes building calabasas

Toa Maoni Yako Hapa
#TUMESTUKA #NAWESTUKA! Pakua App Ya >>>255 Global Radio, Bofya Hapa

spotiXtra

jerseys wholesale Danton Heinen Jersey