Mke Wa T.I Ameibiwa Vitu Vya Bilioni 1.7
Tameka ”Tiny” Harris, ambaye ni staa wa TV, muimbaji na mke wa Rappa T.I, alikuwa na samani zinazogharimu bilioni 1,72 zilizoibiwa wikiendi iliyopita. Pete ya ndoa, saa na heleni ni vitu ambavyo mwanamke huyo ameibiwa ndani ya gari yake.
Polisi wamedai hapakuwa na ishara yeyote ya gari ya mwanamma huyo kuvunjwa, lakini Tameka alisisitiza kupotelewa na begi iliyokuwa na vitu hivyo akiwa maeneo hayo
Upelelezi wa kumgundua mwizi unaendelea wakati ambao Tiny amegoma kuongea na mapaparazi juu ya ishu hiyo ambayo imeonekana kukosa ushahidi.
3,922 total views, 3 views today
Toa Maoni Yako Hapa