Sambaza

Muonekano Wa Harmonize Akiwa Australia

East African Young King Harmonize yupo Sydney Australia, ambapo amekwenda kwa ajili ya kufanya perfomance kwenye tamasha la One Dance Afrika.

Harmonize akiwa nchini humo ameshea picha kadhaa kwenye ukurasa wake wa Instagram zikimuonyesha na muonekano mpya wa nywele zake nyeupe ambazo wakati huu ameamua kuzisuka.

View this post on Instagram

SYDNEY IM HERE ..!!!! ? @1danceafrica_

A post shared by KONDEBOY (@harmonize_tz) on

Tamasha la One Dance Africa linafanyika Australia kwa mara ya kwanza, akiwa ni mmoja wa wanamuziki watakaotoa burudani kwa waafrika waishio nchini humo, Harmonize ataungana na mastaa wa Nigeria Yemi Alade na Wizkid.

 4,888 total views,  3 views today

Toa Maoni Yako Hapa
#TUMESTUKA #NAWESTUKA! Pakua App Ya >>>255 Global Radio, Bofya Hapa

spotiXtra

jerseys wholesale Danton Heinen Jersey