Sambaza

Alikiba kuja na tamko rasmi

Kuelekea kwenye tamko rasmi kutoka kwa mfalme wa Bongo Flava  Alikiba ameamua kuwaalika pia fans wake waweze kujumuika nae pindi atakapokua analifurumua hilo tamko, kupitia instagram page yake Alikiba ameandika hivi. . . “JE WEWE NI FAN NUMBER MOJA WA ALIKIBA?” Basi nina Kadi Mbili za mualiko kwa Fans wangu wawili katika #TamkoRasmi na #AfterParty – ili kuzipata niambie nina Miaka mingapi Katika Game ya Muziki, wimbo wangu wa kwanza ni upi nilio ingiza sauti na Kwanini unapenda Sana Muziki wangu . .

Je unafikiri Alikiba atakuja na tamko gani?  Au amekubali Offer ya kufanya show ya Wasafi Festival? Mimi na wewe hatujui ila 255 Global Radio tuko hapa kukujuza kila kitachondelea kwenye tamko hilo.

 

View this post on Instagram

 

#TamkoLaAlikiba #AlikibaUnforgettable #KingKiba

A post shared by alikiba (@officialalikiba) on

Toa Maoni Yako Hapa
#TUMESTUKA #NAWESTUKA! Pakua App Ya >>>255 Global Radio, Bofya Hapa

spotiXtra

jerseys wholesale Danton Heinen Jersey