Sambaza

Young Killer & Young D vitani nani kuanza kutoa kazi mpya

Wasanii wa muziki wa HipHop ambao wanatajwa kuwa na tofauti Young Killer  na Young Daresalama wamekutana studio kwa Mr T touchez na kuanza kubishana nani aanze kuachia kazi yake mpya


Kwa mujibu wa maelezo Young Daresalama anasikika akimwambia Young Killer amuache kwanza atangulie kuachia wimbo na kwa upande wa Young Killer anaonekana akisema hapana labda aanze yeye kuachia kazi

Wote hawa wana zaidi ya miezi minne toka waachie kazi zao rasmi ambapo Young Killer aliachia  Chagamaa miezi minne iliyopita na Young D aliachia Gari Yangu Remix miezi mitano iliyopita

Toa Maoni Yako Hapa
#TUMESTUKA #NAWESTUKA! Pakua App Ya >>>255 Global Radio, Bofya Hapa

spotiXtra

jerseys wholesale Danton Heinen Jersey