Sambaza

‘Napitwa na vingi nimeacha kutumia simu’ -Billnass

Rapa Billnass amesema sasa hivi amekuwa anapitwa vingi sana ambavyo vinavyoendelea mitandaoni, kwa sababu ya kuacha kutumia simu mara kwa mara.

Hii inakuja baada ya msanii huyo kusema kuwa  hajaiona video ya msanii  mwenzake Rosa Ree, iliyokuwa ikimuonyesha  akishikwa maungo ya kifuani kwenye mwili wake.

Mimi muda mwingine napitwa na vitu vingi sana, kwa sababu zamani nilikuwa na tatizo la kuwa “addicted” na simu, muda wote nashika simu kwa hiyo sasa hivi najitahidi na naweza nikakaa siku nzima nikazima simu kwa hiyo muda mwingine napitwa na vitu” amesema Billnass

Billnass ameendelea kusema anafanya hivyo ili kujirudisha katika hali ya kawaida, kwa sababu muda mwingine simu zinaweza zikafanya kazi zisiende na vitu vingine.

Toa Maoni Yako Hapa
#TUMESTUKA #NAWESTUKA! Pakua App Ya >>>255 Global Radio, Bofya Hapa

spotiXtra

jerseys wholesale Danton Heinen Jersey