Sambaza

Kwa makusudi kabisa; Rihanna agoma kuiachia ‘R9’ Album yake mpya ya tisa

Badgalriri (Rihanna) hataki kuiachia album yake mpya kwa makusudi tu, Usiku wa kuamkia leo Desemba 23, 2019  kupitia ukurasa wake wa instagram ameweka wazi kuhusu hilo.

Ameweka video ya Mbwa akicheza kwenye Boksi na kisha kuandika: “Mimi nikiisikiliza R9 mwenyewe na kugoma kuiachia.” ilisomeka Post hiyo ya Rihanna

 

View this post on Instagram

 

update: me listening to R9 by myself and refusing to release it

A post shared by badgalriri (@badgalriri) on


Ni miaka minne sasa Rihanna hatajupatia album yoyote tangu ANTI ya mwaka 2016, R9 itakuwa album ya 9 kwa mwimbaji huyo.

Toa Maoni Yako Hapa
#TUMESTUKA #NAWESTUKA! Pakua App Ya >>>255 Global Radio, Bofya Hapa

spotiXtra

jerseys wholesale Danton Heinen Jersey