Sambaza

Drake Atamba Kuupaisha Muziki Wa Afrobeats

Drake amejinasibu kwamba ameukuza na kuutangaza vyema muziki wa Afrobeats ambao chimbuko lake ni Afrika.

Kwenye mahojiano na Rap Radar, Drizzy ametamba kuupaisha muziki huo katika level za kimataifa hasa kupitia ngoma zake kama ‘One Dance’ na ‘Come Closer’ ambazo zote alibadilishana mashavu na Wizkid.

Toa Maoni Yako Hapa
#TUMESTUKA #NAWESTUKA! Pakua App Ya >>>255 Global Radio, Bofya Hapa

spotiXtra

jerseys wholesale Danton Heinen Jersey