Sambaza

List Kamili Ya Washindi Wa Tuzo Za Sound City MVP Mwaka 2020

Hii ndio orodha kamili ya washindi wa tuzo za Sound City MVP mwaka 2020. Kwa bahati mbaya mwaka huu hakuna Mtanzania ambaye ameondoka na Ushindi.

Best New MVP
Rema (NG) – Winner

Best Collaboration
Gugulethu – Prince Kaybee [SA] – Winner

Best Pop
JoeBoy [NG] – Winner

Best Hip Hop
KHALIGRAPH Jones (KE) – Winner

Best Duo
DopeNation [GH] – Winner

African Producer of the Year
Rexxie (NG) – Winner

Best Female MVP
Teni [NG] – Winner

Best Male MVP
Burna Boy [NG] – Winner

Digital Artist of the Year
Davido [NG] – Winner

Listener’s Choice
Jealous – Fireboy DML (NG) – Winner

Viewers Choice
Soapy – Naira Marley (NG) – Winner

Video of the Year
49-99 – Tiwa Savage by Meji Alabi (NG) – Winner

Song of the Year
Killin Dem – Burna Boy & Zlatan (NG) – Winner

African Artist of the Year
Burna Boy [NG] – Winner

African DJ of the Year
DJ Spinall (NG) – Winner

Tuzo hizo za tatu kwenye mfululizo wa utowaji wake zimefanyika usiku wa kuamkia leo nchini Nigeria na kushuhudia performance kali ikiwemo pia ya Mtanzania Diamond Platnumz.

Toa Maoni Yako Hapa
#TUMESTUKA #NAWESTUKA! Pakua App Ya >>>255 Global Radio, Bofya Hapa

spotiXtra

jerseys wholesale Danton Heinen Jersey