Sambaza

Octopizzo Aapa Kuimba Kuhusu Bangi Mpaka Ihalalishwe

RAPA nguli nchini Kenya, Octopizzo, ameazimia kuipigania bangi kupitia muziki wake.

Kupitia ukurasa wake wa twitter ambapo alikuwa akiunadi wimbo wake mpya uitwao “Che Che”,  alisema atakuwa akiiimba mstari unaohusu bangi kwenye kila wimbo wake.

“Kuanzia sasa na kuendelea kila wimbo wangu utakuwa na mstari unaohusu bangi mpaka siku itakapohalalishwa,” alisema.

Toa Maoni Yako Hapa
#TUMESTUKA #NAWESTUKA! Pakua App Ya >>>255 Global Radio, Bofya Hapa

spotiXtra

jerseys wholesale Danton Heinen Jersey