Sambaza

Vanessa na Rotimi watarajia kuwa wazazi kwa mara ya kwanza

Na Bakari Mahundu, Dar

Mwanamuziki na muigizaji wa filamu kama; The Power na Coming to America 2, Rotimi na mpenzi  wake,  Vanessa Mdee ambae ni muimbaji kutokea Tanzania, wanatarajia kuwa wazazi kwa kupata mtoto wao wa kwanza ambae wamethibitisha kuwa ni mtoto wa kiume!.

Wapenzi hao wawili, walivarishana pete ya uchumba mwishoni mwa Disemba, 2020 , wamefunguka jana , kupitia jarida la PEOPLE  juu ya matarajio yao ya kupata mtoto wao wa kwanza!.

“Tunafurahi sana kumkaribisha mtoto wetu, Kama wazazi kwa mara ya kwanza, kila kitu juu ya uzoefu huu kimekuwa changamoto mpya kabisa“ Walisema kupitia mahojiano na jarida hilo.

 

Toa Maoni Yako Hapa
#TUMESTUKA #NAWESTUKA! Pakua App Ya >>>255 Global Radio, Bofya Hapa

spotiXtra

jerseys wholesale Danton Heinen Jersey