Sambaza

 MICHAEL K. WILLIAMS: ALIFARIKI KWA KUZIDISHA MATUMIZI YA DAWA ZA KULEVYA

Na Bakari Mahundu, Dar

Muigizaji mkongwe katika filamu mbalimbali zikiwemo;  The Wire na Boardwalk Empire, alifariki kutokana na kuzidisha matumizi ya dawa za kulevya, ripoti za uchunguzi wa  Kidaktari zimeeleza.

Michael ambaye amefariki akiwa na umri wa miaka 54, mwili wake ulikutwa nyumbani kwake, Brooklyn , Septemba 6. Ripoti za awali za Polisi zilieleza kuwa kulikuwepo na vifaa vya dawa za kulevya katika eneo ambalo mwili wa Michael ulipatikana.

Kipindi cha uhai wake, Williams; Amewahi kuteuliwa kushiriki katika Tuzo za Filamu za Emmy na aliwahi kuibuka mshindi katika Tuzo zilizotolewa na Netflix 2019  kupitia uhusika wake aliocheza katika Filamu.

 

Toa Maoni Yako Hapa
#TUMESTUKA #NAWESTUKA! Pakua App Ya >>>255 Global Radio, Bofya Hapa

spotiXtra

jerseys wholesale Danton Heinen Jersey