Sambaza

KANYE KUGEUZA MIJENGO YAKE KUWA MAKANISA

Rapa Kanye West, amesema hatokuwa na makazi kwa mwaka mmoja, kwa kubadilisha mijengo yake ya thamani kuwa makanisa na mingine kuwa vituo vya watu wasiokuwa na makazi ambapo chakula kitapatikana muda wote.

Katika mahojiano aliyoyafanya na Jarida la 032c, Kanye West amesema atafanya hivyo baada ya kupata sehemu ya mali zake katika mgao na mtalaka wake, Kim Kardashian.

Haya yanakuja siku chache baada ya mtalaka wake, Kim Kardashian kutangaza kuondoa jina la West katika bidhaa zake za urembo.

Cc; @bakarimahundu

 

 

Toa Maoni Yako Hapa
#TUMESTUKA #NAWESTUKA! Pakua App Ya >>>255 Global Radio, Bofya Hapa

spotiXtra

jerseys wholesale Danton Heinen Jersey